50 Bing Coupons

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Sunday, 29 September 2013

Kiwanda cha kuzalisha malighafi za kutengeneza Gilisi kujengwa Handeni

Posted on 02:27 by Unknown
Na Mashaka Mhando, Handeni

KIWANDA kikubwa cha malighafi za kutengenezea Gilisi, Penseli na mitungi ya kuzimia moto (Fire Extinguisher ) kinajengwa katika kijiji cha Mkalamo kilichopo kata ya Kwamsisi wilayani Handeni, kinatarajiwa kukamilika mwanzoni mwa mwaka ujao.

Mmoja ya wamiliki wa kiwanda hicho kijulikanacho kwa jina la Sino Tan ambacho kitatumia madini ya Glafiet , Bw. Mussa Mhezi anayeshirikiana na wachina, alisema taratibu zote za kijiji, kata na wilaya wamefuata ikiwemo kupata leseni ya kuchimba madini hayo.

Bw Mhezi alikuwa akimweleza Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko Dkt Abdallah Kigoda aliyetembelea kukagua kuanza kwa ujenzi wa kiwanda hicho, alisema kuwa wanatarajia kukamilisha majengo na kufunga mitano kabla ya Januari mwakani.

Alisema awali walikuwa wakichimba madini hayo na kuyapeleka nchini China lakini sasa ameamua kushirikiana na baadhi ya Wachina hao ambao watasaga madini hayo kisha kutengeneza malighafi hizo ambazo watauza hapa nchini kisha mengine kuyasafiorisha nje ya nchi.

"Hadi kiwanda kikianza kazi tunatarajia kuajiri watu 50 na tutakuw ana vibarua 100, mimi ni mzawa wa Handeni nimeonelea kiwanda hiki kijengwe huku kwetu ili kusaidia tatiuzo la ajira kwa vijana wetu na kuongeza uchumi wa wilaya na nchi," alisema.

Dkt Kigoda ambaye alifurahishwa na ujenzi wa kiwanda hicho, kutokana na kwamba itasaidia wananchi kupata ajira, kuongeza uchumi wa wilaya, mkoa na taifa kwa ujumla hatua ambayo aliwapongeza na kuaahidi wizara yake kuwapa ushirikiano ili kukamilisha hatua hizo za ujenzi.

Hata hivyo, aliwataka wafike Wizarani kwake kwa ajili ya kukamilisha taratibu nyingine za kiserikali ili waweze kuendelea na ujenzi huo ambao unafanyika katika eneo hilo licha ya wananchi kupata ajira pia watanufaika na nishati ya umeme itakayofika kiwandani hapo.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko Dkt Abdallah Kigoda (kwanza Shoto) akikagua ujenzi wa kiwanda cha kuzalisha malighafi ya kutengeneza Gilisi kinachojengwa katika kijiji cha Mkalamo wilaya Handeni kinachoitwa Sino Tan limited, kushoto kwa waziri ni mmoja ya wakurugenzi Bw. Mussa Mhezi.
Waziri Kigoda na baadhi ya wananchi wakitazama msingi wa kiwanda hicho ambacho kimeelezwa kwamba kitakuwa ukombozi mkubwa kwa wananchi.
Dkt Kigoda akizungumza na wananchi wa mji wa Kabuku nje kuhusiana na mambo mbalimbali akiwemo ujenzi huo wa kiwanda.
Bw Mussa Mhezi aliyeshika kipaza sauti akiwa na Wachina ambao wanajenga kwa pamoja kiwanda hicho.
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • WAZIRI DK. NCHIMBI AMTEMBELEA PADRI ALIYEMWAGIWA TINDIKALI HOSPITALI YA MUHIMBILI LEO
    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akisalimiana na Padri Joseph Monesmo Magamba wa Kanisa la Romani Katoliki Pa...
  • tamasha la 32 la sanaa la bagamoyo lawasha moto, Mhe Makala asema utamaduni ni ajira kwa vijana
    NAIBU Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Mhe. Amos Makala amesema Sanaa na Utamaduni nchini itaendelea kuenziwa ili kuwaleta a...
  • Timu ya Taifa ya Pool yaanza kujifua huko Mkoani Morogoro
    Kocha wa Timu ya Taifa, Denis Lungu (kulia) akiwaelekeza jambo wachezaji wa timu ya Taifa ya mchezo wa Pool (Safari National Pool team) wak...
  • RAIS KIKWETE ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU YA CHUO KIKUU CHA GUELPH JIMBONI ONTARIO, CANADA
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa ...
  • KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMANI TANZANIA
     Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akishiriki kuwasha mshumaa kama tendo la kuiangaza nchi ya Tanzania.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape ...
  • MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD AWASILI MKOANI RUKWA KUSHIRIKI IJITIMAI YA KIMATAIFA
    Makamu wa kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya a...
  • Tanzanian Minister of Defence and National Service visits South Darfur
    By Said Msonda of UNAMID An eight-member Tanzanian delegation headed by the Minister of Defence Mr. Shamsi Vuai Nahodha (pictured centre) st...
  • GLOBAL LANGUAGE NETWORK (GLN) ILIYOFANYIKA WASHINGTON, DC YAFANA
    Katibu wa Jumuiya ya Tanzania akielezea nini maana ya GLN na kwanini Jumuiya ya Tanzania DMV ni moja ya washiririki  Banda la Tanzania lilki...
  • wadau farida na paul wameremeta
     Wakila pozi baada ya kumeremeta katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam kabla ya kwenda kwenye mnuso wao wa nguvu katika hote...
  • ACCT members attending Master Builders South Africa Congres 2013
    Basically ACCT members were invited by CIDB Construction Industry Development Board South Africa to attend at 2 days congress here in Joanes...

Blog Archive

  • ▼  2013 (500)
    • ►  October (22)
    • ▼  September (478)
      • HIKI HAPA KILIO CHA WANAFUNZI WA UDAKTARI BUGANDO...
      • No title
      • BREKING NYUUZZZZZZ: SERIKALI YA MAREKANI YAFUNGA S...
      • No title
      • NATURAL PRODUCTS FOR your skin
      • SIKU YA UTALII DUNIANI YENYE KAULI MBIU UTALII NA ...
      • President Kikwete sends Congratulatory Message to ...
      • WAKAZI WA KIKUYU KUSINI WAANDAMANA KUPINGA BOMOABO...
      • ngoma azipendazo ankal
      • wadau farida na paul wameremeta
      • ACCT members attend Master Builders South Africa C...
      • magari yanauzwa
      • Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali Bw L...
      • Spika Makinda apongeza Mabunge ya Afrika kwa kuong...
      • KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN CASMIR MINJA AH...
      • dk shein aagana na balozi wa marekani aliyemaliza ...
      • KATIBU MKUU UTUMISHI, Bw. GEORGE YAMBESI AFUNGUA M...
      • Maalim Seif aifunga rasmi Ijtimai ya Kimataifa ili...
      • HOJA YA HAJA: TUIENZI AMANI YETU KWA GHARAMA YOYOT...
      • MWIGULU NCHEMBA KUNDURUMA NDANI YA LONDON UINGEREZA
      • mwenge wa uhuru watua jijini mbeya
      • MBUNGE WA VITI MAALUMU TABORA,MH MUNDE TAMBWE ADHA...
      • JK arejea nyumbani kutoka Canada na Marekani
      • JK alipohudhuria Mkutano wa Kukabiliana na Ujangil...
      • Globu ya Jamii yakuletea Exclusive Intavyuuu na Re...
      • KANYABOYA LINGINE LAIBUKA DAR,WADAU KAENI CHONJO
      • WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU AIPONGEZA VODA...
      • TIMU YA WIZARA YA AFYA YATINGA ROBO FAINALI - SHIMIWI
      • SAGCOT CEO meets with the US journalists
      • Redd’s Miss Tanzania 2013/14 atembelea TBL leo
      • KONGAMANO LA WAZEE WASTAAFU LAFANYIKA ZANZIBAR
      • ufunguzi Mkutano wa Chama cha Kimataifa cha Taasis...
      • AJALI ZAPUNGUA MKOANI IRINGA
      • MWAKALEBELA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 13 M...
      • MAALIM SEIF AWATAKA WAISLAM NCHINI KUUNGA NA KUSHI...
      • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA AMIRI J...
      • Japanese Grant for the Food Security Project for U...
      • ACCT members attending Master Builders South Afric...
      • Awamu ya pili ya chakula cha hisani cha Taasisi ya...
      • MHE. MWIGULU NCHEMBA AWAKUNA WENGI DMV.
      • MWENGE WAZINDUA UJENZI WA OFISI YA KATA TANDALA WI...
      • WAZIRI CHIKAWE ATEMBELEA GEREZA KUU LA ISANGA,MKOA...
      • MKUTANO WA CCM CHWAKA UNGUJA
      • TAARIFA YA MSIBA
      • SingTel Group and Samsung partner to enhance mobil...
      • TIC yawahakikishia wawekezaji ushirikiano zaidi
      • DIAMOND ALIVYOWAKUNA MASHABIKI WAKE NDANI YA GOLD ...
      • KAPOTIVE STAR SINGER-S BUKOBA KUWASHA MOTO JIJINI ...
      • TFDA YAENDESHA KAMPENI YA UTUMIAJI WA VYAKULA VILI...
      • Wakazi wa eneo la hifadhi ya Ngorongoro wapokea ch...
      • AZANIA BANK YACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI SHULE Y...
      • United States 2015 Diversity Visa Program Now Open
      • OPERESHENI KIMBUNGA AWAMU YA PILI YASHIKA KASI KAT...
      • mdau mugassa mwenda ahojiwa na BBC kwa kufurahishw...
      • Airtel yawanoa maafisa waTRA jinsi ya kulipia ada ...
      • NAIBU WAZIRI FEDHA AKAGUA UJENZI WA BARABARA VISIW...
      • 2013 Young Achievers Awards Nomination Open!
      • No title
      • IN LOVING MEMORY of DORA HOSEA TALAWA 1ST ANNIVESSARY
      • ngoma azipendazo ankal
      • TAARIFA YA MSIBA WA MAMA ROSE HEINRICH SANGIWA MATAJI
      • FRANSIC MIYEYUSHO AMTWANGA SADIK MOMBA KWA POINTI
      • Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Wafanyakazi...
      • Mahojiano ya JK na radio ya umoja wa mataifa, New ...
      • J&M Virgo washusha mali mpya
      • Daktari wa Rais Kikwete kupima afya na kuwapa lese...
      • MWENGE WA UHURU WATUA MAKETE
      • Swali la kizushi: Je ni mkono upi unaofaa kuvalia ...
      • No title
      • No title
      • introducing Mchaga na pesa by KiwaStrond ft. Banx
      • bwawa la maini oye! Suarez arudi na kupiga bee kat...
      • HARAMBEE KUCHANGIA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KUS...
      • introducing 'Ni Noma' by Go Getta of the night cra...
      • MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ...
      • Ubalozi wetu zambia na wajisiriamali wa Tanzania w...
      • Grace aikaeli Mbowe na mumewe wafariki kwa ajali ...
      • Simba yaibanjua Ruvu JKT 2-0 leo neshno
      • KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMA...
      • ZUMBA KUKWE AMSHINDA HAMADUU MWALIMU KWA KO RAUNDI...
      • TANZIA: Msiba wa Bi ROSE HENRISCH SANGIWA MATAJI
      • Sherehe za kufunga mafunzo katika kikosi cha 842 ...
      • Benki ya posta Tanzania tawi la Songea yaipiga jek...
      • GLOBAL LANGUAGE NETWORK (GLN) ILIYOFANYIKA WASHING...
      • TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO NI KWELI KWAMBA LIMEPOTE...
      • No title
      • Tanzanian Minister of Defence Meets Governor of So...
      • UPANUZI WA BARABARA YA BENDERA TATU HADI KAMATA KU...
      • MISS UTALII TANZANIA KUTANGAZA NYATI WA AJABU NA ...
      • Cheka unenepe
      • WAFANYAKAZI WA IDARA MBALI MBALI ZA SERIKALI WACHU...
      • Kiwanda cha kuzalisha malighafi za kutengeneza Gil...
      • MAMA SALMA KIKWETE APEWA URAIA WA HIARI WA JIMBO L...
      • MKUTANO WA SIKU TATU WA MAOFISA WA JUU WA JESHI LA...
      • NBC YATENGA SIKU MAALUMU KUWASHUKURU WATEJA WAO
      • Serikali yabariki tamasha la Utamaduni Handeni
      • Matukio zaidi ya Mhe. Rais Kikwete alipolihutubia ...
      • ngoma azipendazo ankal
      • chemsha bongo...
      • cassim mganga akitumbuiza kwenye tamasha la fiesta...
      • TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 LIKIENDELEA USIKU...
      • kipanya
      • msondo ngoma ndani ya leaders club jijini dar kila...
      • Taswirazz Mwanana za kuzama kwa jua jioni ya leo
      • Katiba ni Mwafaka wa Kitaifa. Viongozi zungumzeni
      • LULU AFUNGUKA YA MOYONI KWENYE SEMINA YA FURSA KWA...
      • Mhe George Simbachawene atoa mada katika Kongamano...
      • yanga faifunga ruvu shooting stars, mrisho ngassa ...
      • NEWS ALERT:Magazeti ya Mwananchi na Mtanzania yafu...
      • Huyu ndie Mrembo wa Dunia (Miss World 2013) kutona...
      • Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe Stephen Mas...
      • USAILI WA TANZANIA TOP MODEL UNAENDELEA KANDA YA K...
      • KUNDI LA UMOJA CULTUAL LIKITOA BURUDANI WAKATI WA ...
      • VIJANA 14 Nyota wa mpira wa kikapu wajiandaa kwend...
      • TPA yaadhimisha siku ya Siku ya Bahari Duniani jij...
      • wakazi wa mwanza wachangamkia semina ya kamata fur...
      • Vote for Mohammed Dewji as Person of the Year at F...
      • MAADHIMISHO YA KILELE CHA SIKU YA UTALII DUNIANI Y...
      • JK AHUTUBIA MKUTANO WA 68 WA UMOJA WA MATAIFA JIJI...
      • Bang! Magazine issue is now out
      • MBUNGE MSIGWA AMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA MKAKATI W...
      • TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO NI KWELI KWAMBA LIMEPOTE...
      • Rais Kikwete ahutubia Umoja wa Mataifa New York, a...
      • Mhe amos makala katika ziara ya kikazi afrika ya ...
      • maadhimisho Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani y...
      • BRITISH Foreign Secretary welcomes UN IPCC report ...
      • No title
      • bei ya madafu leo
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile