50 Bing Coupons

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Saturday, 28 September 2013

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teklonojia aagiza TTCL kutengeneza haraka mkongo wa simu unapoharibika

Posted on 00:29 by Unknown
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teklonojia, Profesa Makame Mbarawa akikagua  eneo ambalo mwanachi mmoja wa kijiji cha Magaoni aling'oa waya wa mkonga wa Taifa.
 WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teklonojia, Profesa Makame Mbarawa na maafisa wa TTCL mkoa wa Tanga wakiangalia sehemu ambayo mwananchi mmoja wa kijiji cha Magaoni ameng'oa mkongo wa Taifa kwa sababu anazozijua mwenyewe
 wafanyakazi wa TTCL akiwemo ofisa habari wa Wizara hiyo Bi Prisca Ulomi (kulia) wakimsikiliza waziri akizungumza nao.
Waziri akiagwa na wafanyakazi wa shirika hilo mjini Tanga


Picha na Habari na 


Mashaka Mhando,Tanga
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teklonojia, Profesa Makame Mbarawa, amelitaka shirika la Simu nchini (TTCL), kufanya matengenezo ya haraka endapo Mkonga wa Taifa wa mawasiliano utapata hitilafu au kuhujumiwa na baadhi ya wananchi ambao hawajui umuhimu wa kulinda rasilimali za Taifa ili wasilete usumbufu kwa watumiaji wake.
Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo pamoja na wale wa Posta Jijini Tanga, Waziri Mbarawa alisema ni vema shirika hilo likatambua umuhimu wa mkongo huo kwa faida za kiuchumi kwa mafundi kuchukua hatua za haraka na za muda mfupi kufanya marekebisho kuliko kuchukua muda mrefu unaokera watumiaji.
Alisema zipo sehemu nyingine mkonga huo unapoharibika, mafundi huchukua takribani wiki mbili kukamilisha matengenezo hayo hatua ambayo alisema haina tija kwa ufanisi kutokana na kwamba mkonga huo kiuchumi umekuwa ukisaidia na kwamba serikali imetumia fedha nyingi katika kuuchimbia na kuuendesha kwake.
Akizungumzia 'ndoa' ya shirika hilo na kampuni ya simu za mikononi ya Airtel, Waziri Mbarawa alisema serikali inafanya mchakato wa kuvunja mkataba huo ili shirika hilo la TTCL liweze kujiendesha wenyewe tofauti na sasa.
Alisema hivi saa serikali kupitia Wizara ya Fedha (Hazina), inapitia na kufanya tathimini ya mali ya kampuni hiyo kabla ya kuvunja mkataba huo rasmi ili shirika hilo liendeshwe na wazawa wenye na serikali kuwekeza fedha kwa ajili ya uendeshaji na hatua iliyofikiwa ni kutangaza nafasi za juu za uongozi.
"Kuweni wavumilivu muda si mrefu tutamaliza suala hili lililokaa kwa muda mrefu, Hazina wanafanya tathimni kuangalia mali yao ikiwezekana TTCL isimame yenyewe kwa kuendeshwa na wazawa na serikali iweze kuweka mtaji wake," alisema Profesa Mabarawa.
Aliwataka wanyakazi na menejementi ya shirika hilo, wakawakisubiri suala hilo kukamilika na kuvunjwa, washirikiane na kufanya kazi kwa bidii ikiwemo kuzifanyia kazi changamoto mbalimbali zinazoikabili shirika hilo ikiwemo ushindani na makapuni mengine ya simu yaliopo hapa nchini.
Awali meneja wa TTCL mkoani Tanga Bw. Peter Lusama aliwmeleza Waziri kwamba shirika hilo mkoani Tanga, linakabiliana na changamoto zilizopo ikiwemo kushughulikia matatizo ya uharibifu wa mkonga huo ambao alitoa mfano mwananchi mmoja wa Kijiji cha Magaoni wilayani Mkinga mkoani hapa, alipokuwa kitafuta mchanga kwenye kichuguu, aling'oa kipande cha mkonga huo.
Hata hivyo, alipoeleza kwamba mafundi kutoka Dar es salaam walichukua zaidi ya masaa 36 kukamilisha matengenezo hayo, hatua ambayo Waziri huyo aliona kwamba haikuwa na sababu ya kuchkua muda huo wote na kuagiza mafundi wachukue muda mfupi kukamilisha kazi hizo.

Waziri Mbarawa alikuwa mkoani Tanga kutembelea mkonga wa Taifa wa mawasiliano katika eneo la Horohoro ambako tayari mradi huo ulikamilika tangu Juni 2012 kisha kuzungumza na wafanyakazi kujua changamoto zao na kuwaagiza kufanya kazi kukabili changamoto hizo
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • tamasha la 32 la sanaa la bagamoyo lawasha moto, Mhe Makala asema utamaduni ni ajira kwa vijana
    NAIBU Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Mhe. Amos Makala amesema Sanaa na Utamaduni nchini itaendelea kuenziwa ili kuwaleta a...
  • wadau farida na paul wameremeta
     Wakila pozi baada ya kumeremeta katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam kabla ya kwenda kwenye mnuso wao wa nguvu katika hote...
  • WAZIRI DK. NCHIMBI AMTEMBELEA PADRI ALIYEMWAGIWA TINDIKALI HOSPITALI YA MUHIMBILI LEO
    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akisalimiana na Padri Joseph Monesmo Magamba wa Kanisa la Romani Katoliki Pa...
  • Sherehe za kufunga mafunzo katika kikosi cha 842 Kj Mlale Jkt, Songea
      Mkuu wa wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Mhe Senyi Ngaga kushoto akiangalia shehena ya mahindi ya chakula katika kikosi cha 842 Kj mlale Jkt...
  • GLOBAL LANGUAGE NETWORK (GLN) ILIYOFANYIKA WASHINGTON, DC YAFANA
    Katibu wa Jumuiya ya Tanzania akielezea nini maana ya GLN na kwanini Jumuiya ya Tanzania DMV ni moja ya washiririki  Banda la Tanzania lilki...
  • Naibu Spika aongoza Mkutano wa ACP nchini Ubelgiji
    Mhe.Job Ndugai,Mbunge wa Kongwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania akiongoza Mkutano wa Kamati ya Mazingira na Jamii cha Umoja wa Mabunge y...
  • RAIS KIKWETE ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU YA CHUO KIKUU CHA GUELPH JIMBONI ONTARIO, CANADA
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa ...
  • KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMANI TANZANIA
     Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akishiriki kuwasha mshumaa kama tendo la kuiangaza nchi ya Tanzania.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape ...
  • AMBASSADOR MODEST MERO PRESENTS LETTERS OF CREDENCE TO IAEA AND UNIDO OFFICES IN VIENNA, AUSTRIA
    His Excellency Mr. Modest Jonathan Mero, has presented to H.E Mr. Li Yong, Director General of the United Nations Industrial Development Org...
  • TAARIFA YA MSIBA WA MAMA ROSE HEINRICH SANGIWA MATAJI
    Familia ya Marehemu Chief Shaaban Mtengeti II, inasikitika kutangaza kifo cha shangazi yao mpendwa  Mama Rose Heinrich Sangiwa Mataji, mama ...

Blog Archive

  • ▼  2013 (500)
    • ►  October (22)
    • ▼  September (478)
      • HIKI HAPA KILIO CHA WANAFUNZI WA UDAKTARI BUGANDO...
      • No title
      • BREKING NYUUZZZZZZ: SERIKALI YA MAREKANI YAFUNGA S...
      • No title
      • NATURAL PRODUCTS FOR your skin
      • SIKU YA UTALII DUNIANI YENYE KAULI MBIU UTALII NA ...
      • President Kikwete sends Congratulatory Message to ...
      • WAKAZI WA KIKUYU KUSINI WAANDAMANA KUPINGA BOMOABO...
      • ngoma azipendazo ankal
      • wadau farida na paul wameremeta
      • ACCT members attend Master Builders South Africa C...
      • magari yanauzwa
      • Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali Bw L...
      • Spika Makinda apongeza Mabunge ya Afrika kwa kuong...
      • KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN CASMIR MINJA AH...
      • dk shein aagana na balozi wa marekani aliyemaliza ...
      • KATIBU MKUU UTUMISHI, Bw. GEORGE YAMBESI AFUNGUA M...
      • Maalim Seif aifunga rasmi Ijtimai ya Kimataifa ili...
      • HOJA YA HAJA: TUIENZI AMANI YETU KWA GHARAMA YOYOT...
      • MWIGULU NCHEMBA KUNDURUMA NDANI YA LONDON UINGEREZA
      • mwenge wa uhuru watua jijini mbeya
      • MBUNGE WA VITI MAALUMU TABORA,MH MUNDE TAMBWE ADHA...
      • JK arejea nyumbani kutoka Canada na Marekani
      • JK alipohudhuria Mkutano wa Kukabiliana na Ujangil...
      • Globu ya Jamii yakuletea Exclusive Intavyuuu na Re...
      • KANYABOYA LINGINE LAIBUKA DAR,WADAU KAENI CHONJO
      • WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU AIPONGEZA VODA...
      • TIMU YA WIZARA YA AFYA YATINGA ROBO FAINALI - SHIMIWI
      • SAGCOT CEO meets with the US journalists
      • Redd’s Miss Tanzania 2013/14 atembelea TBL leo
      • KONGAMANO LA WAZEE WASTAAFU LAFANYIKA ZANZIBAR
      • ufunguzi Mkutano wa Chama cha Kimataifa cha Taasis...
      • AJALI ZAPUNGUA MKOANI IRINGA
      • MWAKALEBELA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 13 M...
      • MAALIM SEIF AWATAKA WAISLAM NCHINI KUUNGA NA KUSHI...
      • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA AMIRI J...
      • Japanese Grant for the Food Security Project for U...
      • ACCT members attending Master Builders South Afric...
      • Awamu ya pili ya chakula cha hisani cha Taasisi ya...
      • MHE. MWIGULU NCHEMBA AWAKUNA WENGI DMV.
      • MWENGE WAZINDUA UJENZI WA OFISI YA KATA TANDALA WI...
      • WAZIRI CHIKAWE ATEMBELEA GEREZA KUU LA ISANGA,MKOA...
      • MKUTANO WA CCM CHWAKA UNGUJA
      • TAARIFA YA MSIBA
      • SingTel Group and Samsung partner to enhance mobil...
      • TIC yawahakikishia wawekezaji ushirikiano zaidi
      • DIAMOND ALIVYOWAKUNA MASHABIKI WAKE NDANI YA GOLD ...
      • KAPOTIVE STAR SINGER-S BUKOBA KUWASHA MOTO JIJINI ...
      • TFDA YAENDESHA KAMPENI YA UTUMIAJI WA VYAKULA VILI...
      • Wakazi wa eneo la hifadhi ya Ngorongoro wapokea ch...
      • AZANIA BANK YACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI SHULE Y...
      • United States 2015 Diversity Visa Program Now Open
      • OPERESHENI KIMBUNGA AWAMU YA PILI YASHIKA KASI KAT...
      • mdau mugassa mwenda ahojiwa na BBC kwa kufurahishw...
      • Airtel yawanoa maafisa waTRA jinsi ya kulipia ada ...
      • NAIBU WAZIRI FEDHA AKAGUA UJENZI WA BARABARA VISIW...
      • 2013 Young Achievers Awards Nomination Open!
      • No title
      • IN LOVING MEMORY of DORA HOSEA TALAWA 1ST ANNIVESSARY
      • ngoma azipendazo ankal
      • TAARIFA YA MSIBA WA MAMA ROSE HEINRICH SANGIWA MATAJI
      • FRANSIC MIYEYUSHO AMTWANGA SADIK MOMBA KWA POINTI
      • Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Wafanyakazi...
      • Mahojiano ya JK na radio ya umoja wa mataifa, New ...
      • J&M Virgo washusha mali mpya
      • Daktari wa Rais Kikwete kupima afya na kuwapa lese...
      • MWENGE WA UHURU WATUA MAKETE
      • Swali la kizushi: Je ni mkono upi unaofaa kuvalia ...
      • No title
      • No title
      • introducing Mchaga na pesa by KiwaStrond ft. Banx
      • bwawa la maini oye! Suarez arudi na kupiga bee kat...
      • HARAMBEE KUCHANGIA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KUS...
      • introducing 'Ni Noma' by Go Getta of the night cra...
      • MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ...
      • Ubalozi wetu zambia na wajisiriamali wa Tanzania w...
      • Grace aikaeli Mbowe na mumewe wafariki kwa ajali ...
      • Simba yaibanjua Ruvu JKT 2-0 leo neshno
      • KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMA...
      • ZUMBA KUKWE AMSHINDA HAMADUU MWALIMU KWA KO RAUNDI...
      • TANZIA: Msiba wa Bi ROSE HENRISCH SANGIWA MATAJI
      • Sherehe za kufunga mafunzo katika kikosi cha 842 ...
      • Benki ya posta Tanzania tawi la Songea yaipiga jek...
      • GLOBAL LANGUAGE NETWORK (GLN) ILIYOFANYIKA WASHING...
      • TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO NI KWELI KWAMBA LIMEPOTE...
      • No title
      • Tanzanian Minister of Defence Meets Governor of So...
      • UPANUZI WA BARABARA YA BENDERA TATU HADI KAMATA KU...
      • MISS UTALII TANZANIA KUTANGAZA NYATI WA AJABU NA ...
      • Cheka unenepe
      • WAFANYAKAZI WA IDARA MBALI MBALI ZA SERIKALI WACHU...
      • Kiwanda cha kuzalisha malighafi za kutengeneza Gil...
      • MAMA SALMA KIKWETE APEWA URAIA WA HIARI WA JIMBO L...
      • MKUTANO WA SIKU TATU WA MAOFISA WA JUU WA JESHI LA...
      • NBC YATENGA SIKU MAALUMU KUWASHUKURU WATEJA WAO
      • Serikali yabariki tamasha la Utamaduni Handeni
      • Matukio zaidi ya Mhe. Rais Kikwete alipolihutubia ...
      • ngoma azipendazo ankal
      • chemsha bongo...
      • cassim mganga akitumbuiza kwenye tamasha la fiesta...
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile