Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema ujangili wa pembe za ndovu na faru ni tatizo la kimataifa linaolohitaji kutokomezwa kwa ushirikiano huku akitaka mataifa makubwa kudhibiti soko la pembe hizo, hatua ambayo amesema inaweza kukomesha uwindaji haramu unaoathiri utalii barani Afrika.
Katika mahojiano amaaluma na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa mjini New York, rais Kikwete ambaye pia ameelezea hatari ya ugaidi nchini mwake na duniani kwa ujumla amesema hata hivyo nchi yake imechukua tahadhari kujihami na mashambulizi hayo. Kwanza Rais Kikwete anaanza kufafanua ukubwa wa tataizo la uwindaji wa pembe za ndovu na faru.
0 comments:
Post a Comment