Wakila pozi baada ya kumeremeta katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam kabla ya kwenda kwenye mnuso wao wa nguvu katika hoteli ya Golden Tulip si wengine bali ni wadau wakubwa wa Globu ya Jamii Farida Hussein Muyinga na Paul Herman Kirigini
Wadau Farida na Paul wakiwa na keki maalumu kwa kamati ya maandalizi iliyofanikisha kumeremeta kwao
Ni wakati wa kukata na kulishana keki kwa wapendanao hao
Ufunguzi rasmi wa dansi
0 comments:
Post a Comment