50 Bing Coupons

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Tuesday, 1 October 2013

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWATAHADHARISHA WAKULIMA WAKE WA VIJIJI

Posted on 04:56 by Unknown
 Mmoja kati ya Wakulima wa Kijiji cha Nguruweni Dole Mzee Kitwana Mustaha aliishukuru na Kuipongeza  Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  Ali Iddi kwa kukamilisha ahadi yake ya kuwapatia hati za umiliki wa mashamba  wakulima hao kwa ajili ya kilimo katika maeneo yaliyowahi kuleta mgogoro kwa muda mrefu.
  Baadhi ya wananchi na wakulima wa Kijiji cha Nguruweni wakiwa katika mkutano maalum  uliotishwa  na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wa kukabidhiwa hati za umiliki wa mashamba ya kilimo katika maeneo yao.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na wakulima wa Kijiji cha Nguruweni kabla ya kuwakabidhi hati za umiliki wa mashamba ya kilimo wakulima hao.
 Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Hati ya umiliki wa shamba Bibi Josephine Yohana kwenye hafla maalum ya kumaliza mgogoro wa mashamba katika kijiji hicho.
  Balozi Seif akimpatia Hati Bwana Mohd Ali Pili ya kumiliki eneo la kilimo katika Kijiji cha Nguruweni  ambako kuliibuka mgogoro uliosababishwa na kuinbgizwa watu wasiohusika na maeneo hayo kwa kilimo. Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • tamasha la 32 la sanaa la bagamoyo lawasha moto, Mhe Makala asema utamaduni ni ajira kwa vijana
    NAIBU Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Mhe. Amos Makala amesema Sanaa na Utamaduni nchini itaendelea kuenziwa ili kuwaleta a...
  • wadau farida na paul wameremeta
     Wakila pozi baada ya kumeremeta katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam kabla ya kwenda kwenye mnuso wao wa nguvu katika hote...
  • WAZIRI DK. NCHIMBI AMTEMBELEA PADRI ALIYEMWAGIWA TINDIKALI HOSPITALI YA MUHIMBILI LEO
    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akisalimiana na Padri Joseph Monesmo Magamba wa Kanisa la Romani Katoliki Pa...
  • Naibu Spika aongoza Mkutano wa ACP nchini Ubelgiji
    Mhe.Job Ndugai,Mbunge wa Kongwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania akiongoza Mkutano wa Kamati ya Mazingira na Jamii cha Umoja wa Mabunge y...
  • Sherehe za kufunga mafunzo katika kikosi cha 842 Kj Mlale Jkt, Songea
      Mkuu wa wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Mhe Senyi Ngaga kushoto akiangalia shehena ya mahindi ya chakula katika kikosi cha 842 Kj mlale Jkt...
  • barabara ya Mtoni-mbagala ilivyo
  • BACK TO THE SUA SEASON 2 EPISODE 2, KIJENGE, ARUSHA
    YECHU! YECHU! YECHU! HII HAILIPIWI HATA KUMI ARIFU  YAANI KIINGILIO NDO KITU HAMNAGA Pale Pale fasi ya K-JUU mwisho wa daladala mkabala na k...
  • JK ALIPOKUTANA NA WADAU WASHINGTON DC
    Rais wa Tanzania Dr.Jakaya Kikwete alipokutana na mpiganaji SundayShomari wa VOA siku ya Jumatano kwenye ofisi za ubalozi washington Dc. Rai...
  • KATIBU MKUU UTUMISHI, Bw. GEORGE YAMBESI AFUNGUA MAFUNZO YA MFUMO WA KUSIMAMIA RASILIMALI WATU SEREKALINI (HUMAN CAPITAL MANAGEMENT INFORMATION SYSTEM, HCMIS - LAWSON) KWA WAKURUGENZI NA MAKATIBU
    TAWALA WA MIKOA Katibu mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. George Yambesi leo amefungua rasmi mafunzo ya mfumo wa komp...
  • WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA KOSOVO
    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kosovo, Mhe. Enver...

Blog Archive

  • ▼  2013 (500)
    • ▼  October (22)
      • barabara ya Mtoni-mbagala ilivyo
      • Tanzania katika hatua za muhimu za kuanza utekekel...
      • washindi wa chemsha bongo wapatikana
      • mtuhumiwa wa mauaji auawa na wananchi makete
      • UTAFITI WAONESHA KIFUA KIKUU(TB) KUSUMBUA VIJIJINI...
      • Dar lauded for KILIMO KWANZA (Agriculture First) I...
      • PEMBE ZA NDOVU, UGAIDI NI VITA YA KIMATAIFA: KIKWETE
      • President Obama Delivers a Statement on the Govern...
      • Kali TV: This week, meet Nazizi Hirji
      • Lindi na Mtwara wapata washirika kutoka Norway
      • President Kikwete congratulates Nigeria on achievi...
      • Mvua yakata barabara kijiji cha Ndungu Wilayani Same
      • KONGAMANO LA JUMUIYA YA WAZEE WASTAAFU,WAKULIMA NA...
      • Rais Dk.Shein akutana na Balozi wa Uholanzi na Bal...
      • Balozi wa Marekani aiaga Wizara ya Mambo Ndani ya ...
      • MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KILELE CHA MAAD...
      • SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWATAHADHARISHA...
      • TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA KWA SHIRIKISH...
      • MAALIM SEIF AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA WALIM...
      • KIJIWE CHA UGHAIBUNI
      • TASWIRA HALISI YA MJI WA DUBAI ASUBUHI YA LEO.
      • Here is CPwaa's New Hit Single "Chereko Chereko"
    • ►  September (478)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile