50 Bing Coupons

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Tuesday, 24 September 2013

ASAS DAIRIES LTD KUNYWESHA MAZIWA WANAFUNZI 30,000 KESHO UWANJA WA SAMORA NI KTK KUADHIMISHA SIKU YA UNYWAJI MAZIWA MASHULENI

Posted on 06:18 by Unknown
 Mratibu  wa  maadhimisho ya  unywaji  wa maziwa mashuleni  Iringa  kutoka kampuni ya  Asas Bw Tony Adam katikati  akizungumza na  wanahabari Iringa  katika ofisi  za IPC juu ya maadhimisho hayo ,kulia ni katibu  wa chama cha  waandishi wa habari mkoa  wa Iringa Bw  Francis Godwin na kushoto ni afisa habari  wa kampuni ya maziwa ya  Asas
 Wanahabari  wa  vyombo mbali mbali  wakimsikiliza kwa makini mratibu  huyo

Na  Francis Godwin, Iringa 
WAKATI   kesho ni maadhimisho ya  siku ya  unywaji maziwa  duniani ,kampuni ya maziwa  ya  Asas Dairies Limited  Iringa inakusudia kuwanywesha  maziwa  wanafunzi 30,000  wa  shule  za msingi katika Halmashauri ya  Manispaa ya  Iringa kama  sehemu ya  kuhamasisha  jamii  kujenga  utamaduni wa kunywa maziwa kwa afya .

Akizungumza na wanahabari leo  katika ofisi za IPC ,mratibu  wa uhamasishaji unywaji maziwa  mashuleni  kutoka kampuni ya  ya maziwa  ya Asas Bw  Tony Adam  alisema  kuwa kuwa  wakati madhimisho  ya  unywaji maziwa kitaifa yanafanyika katika mkoa  wa  Tanga ,Kampuni  hiyo ya Asas Dairies Ltd  yenye makao  yake makuu mkoani  Iringa  imelazimika  kufanya maadhimisho  hayo mjini Iringa kwa kushirikiana na uongozi  wa Manispaa ya  Iringa.

Mratibu  huyo alisema  kuwa shule zote za Halmashauri ya  Manispaa ya  Iringa  zitapata  kupewa maziwa katika  uwanja  wa  Samora   mbele ya mgeni rasmi  mkuu  wa mkoa wa  Iringa Dr Christine Ishengoma .

PIa alisema kuwa  wanafunzi  wote  wa shule  za msingi wenye  miaka chini ya 10 watashiriki katika mashindano  ya  uchoraji  wa  picha  za rangi  zitakazobeba  ujumbe  wa maziwa kwa  mfano  ng'ombe akila majani  ama  mtoto  akinywa  maziwa .

Mbali ya  watoto  kushindana  kuchora  pia  watu  wazima  watapata kushiriki semina  itakayoelezea  umuhimu  wa unywaji  wa maziwa na madhara  ya kutotumia maziwa katika  mwili  wa binadamu  na  kuwa  semina hiyo itahusisha  pia  wadau wa maziwa na viongozi  wa  mkoa  na Manispaa ya  Iringa pamoja na wawakilishi wa taasisi  zinazohusika na sekta ya maziwa za  zile bodi ya  maziwa , lishe na  chakula nchini (TFNC).

Alisema  madhumuni makubwa ya madhimisho hayo ni  kuamsha  hisia  za  wakazi  wa Manispaa ya Iringa  kuhusu umuhimu  wa unywaji maziwa  katika kujenga afya ya mwili  na kiakili zaidi.

Kwani  alisema  kuwa  kiwango cha unywaji  wa maziwa  nchini bado ni wa  kiwango  cha chini  sana cha  wastani  wa lita  40  za maziwa  kwa mtu  kwa  mwaka  ambazo zimepanda  lita  60 za maziwa kwa mtu kwa  mwaka  ikilinganishwa na kiwango  cha  kimataifa  (WHO) cha  lita 200 za maziwa  kwa  mtu kwa mwaka au  kiwango cha majirani zetu  Kenya  cha  lita 120 za maziwa kwa  mtu mmoja kwa  mwaka .

Alisema  kuwa kiwango  chetu hapa  nchini  ni sawa na na unywaji  wa maziwa  cha  pipa moja la maziwa  kwa mtu  mmoja kwa mwaka huku dhamira  ya kiwanda  cha Asas Iringa  ni  kuona  kiwango  hicho  kinaongezeka kufikia  lita  80 hadi 100 za maziwa  kwa mtu mmoja kwa  mwaka ndani  ya  kipindi cha miaka 5  ijayo.

Mratibu  huyo  alisema  kuwa kiwanda  hicho  cha  Asas Dairies  Ltd  kimeendelea  kufikisha  bidhaa zake kwa  wananchi  wengi zaidi nchini kwa  kuhakikisha wanafikiwa na huduma zao  na kutaja bidhaa zinazozalishwa  kuwa ni maziwa fresh,maziwa  mgando ,Yogurts zenye  ladha mbali mbali .

Aidha  ametaja  kaulu  mbio  ya  maadhimisho ya unywaji  wa maziwa mashuleni katika Manispaa ya  Iringa kwa mwaka  huu kuwa ni UNYWAJI  WA MAZIWA KILA SIKU SHULENI NI  HAKI YA  KILA MWANAFUNZI.


Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • tamasha la 32 la sanaa la bagamoyo lawasha moto, Mhe Makala asema utamaduni ni ajira kwa vijana
    NAIBU Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Mhe. Amos Makala amesema Sanaa na Utamaduni nchini itaendelea kuenziwa ili kuwaleta a...
  • wadau farida na paul wameremeta
     Wakila pozi baada ya kumeremeta katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam kabla ya kwenda kwenye mnuso wao wa nguvu katika hote...
  • WAZIRI DK. NCHIMBI AMTEMBELEA PADRI ALIYEMWAGIWA TINDIKALI HOSPITALI YA MUHIMBILI LEO
    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akisalimiana na Padri Joseph Monesmo Magamba wa Kanisa la Romani Katoliki Pa...
  • Naibu Spika aongoza Mkutano wa ACP nchini Ubelgiji
    Mhe.Job Ndugai,Mbunge wa Kongwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania akiongoza Mkutano wa Kamati ya Mazingira na Jamii cha Umoja wa Mabunge y...
  • Sherehe za kufunga mafunzo katika kikosi cha 842 Kj Mlale Jkt, Songea
      Mkuu wa wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Mhe Senyi Ngaga kushoto akiangalia shehena ya mahindi ya chakula katika kikosi cha 842 Kj mlale Jkt...
  • barabara ya Mtoni-mbagala ilivyo
  • KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMANI TANZANIA
     Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akishiriki kuwasha mshumaa kama tendo la kuiangaza nchi ya Tanzania.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape ...
  • GLOBAL LANGUAGE NETWORK (GLN) ILIYOFANYIKA WASHINGTON, DC YAFANA
    Katibu wa Jumuiya ya Tanzania akielezea nini maana ya GLN na kwanini Jumuiya ya Tanzania DMV ni moja ya washiririki  Banda la Tanzania lilki...
  • BACK TO THE SUA SEASON 2 EPISODE 2, KIJENGE, ARUSHA
    YECHU! YECHU! YECHU! HII HAILIPIWI HATA KUMI ARIFU  YAANI KIINGILIO NDO KITU HAMNAGA Pale Pale fasi ya K-JUU mwisho wa daladala mkabala na k...
  • IN LOVING MEMORY of DORA HOSEA TALAWA 1ST ANNIVESSARY
    28 th September 2013 marks the first year of the passing away of our beloved mum.  Memories continue to linger around us because there are ...

Blog Archive

  • ▼  2013 (500)
    • ►  October (22)
    • ▼  September (478)
      • HIKI HAPA KILIO CHA WANAFUNZI WA UDAKTARI BUGANDO...
      • No title
      • BREKING NYUUZZZZZZ: SERIKALI YA MAREKANI YAFUNGA S...
      • No title
      • NATURAL PRODUCTS FOR your skin
      • SIKU YA UTALII DUNIANI YENYE KAULI MBIU UTALII NA ...
      • President Kikwete sends Congratulatory Message to ...
      • WAKAZI WA KIKUYU KUSINI WAANDAMANA KUPINGA BOMOABO...
      • ngoma azipendazo ankal
      • wadau farida na paul wameremeta
      • ACCT members attend Master Builders South Africa C...
      • magari yanauzwa
      • Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali Bw L...
      • Spika Makinda apongeza Mabunge ya Afrika kwa kuong...
      • KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN CASMIR MINJA AH...
      • dk shein aagana na balozi wa marekani aliyemaliza ...
      • KATIBU MKUU UTUMISHI, Bw. GEORGE YAMBESI AFUNGUA M...
      • Maalim Seif aifunga rasmi Ijtimai ya Kimataifa ili...
      • HOJA YA HAJA: TUIENZI AMANI YETU KWA GHARAMA YOYOT...
      • MWIGULU NCHEMBA KUNDURUMA NDANI YA LONDON UINGEREZA
      • mwenge wa uhuru watua jijini mbeya
      • MBUNGE WA VITI MAALUMU TABORA,MH MUNDE TAMBWE ADHA...
      • JK arejea nyumbani kutoka Canada na Marekani
      • JK alipohudhuria Mkutano wa Kukabiliana na Ujangil...
      • Globu ya Jamii yakuletea Exclusive Intavyuuu na Re...
      • KANYABOYA LINGINE LAIBUKA DAR,WADAU KAENI CHONJO
      • WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU AIPONGEZA VODA...
      • TIMU YA WIZARA YA AFYA YATINGA ROBO FAINALI - SHIMIWI
      • SAGCOT CEO meets with the US journalists
      • Redd’s Miss Tanzania 2013/14 atembelea TBL leo
      • KONGAMANO LA WAZEE WASTAAFU LAFANYIKA ZANZIBAR
      • ufunguzi Mkutano wa Chama cha Kimataifa cha Taasis...
      • AJALI ZAPUNGUA MKOANI IRINGA
      • MWAKALEBELA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 13 M...
      • MAALIM SEIF AWATAKA WAISLAM NCHINI KUUNGA NA KUSHI...
      • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA AMIRI J...
      • Japanese Grant for the Food Security Project for U...
      • ACCT members attending Master Builders South Afric...
      • Awamu ya pili ya chakula cha hisani cha Taasisi ya...
      • MHE. MWIGULU NCHEMBA AWAKUNA WENGI DMV.
      • MWENGE WAZINDUA UJENZI WA OFISI YA KATA TANDALA WI...
      • WAZIRI CHIKAWE ATEMBELEA GEREZA KUU LA ISANGA,MKOA...
      • MKUTANO WA CCM CHWAKA UNGUJA
      • TAARIFA YA MSIBA
      • SingTel Group and Samsung partner to enhance mobil...
      • TIC yawahakikishia wawekezaji ushirikiano zaidi
      • DIAMOND ALIVYOWAKUNA MASHABIKI WAKE NDANI YA GOLD ...
      • KAPOTIVE STAR SINGER-S BUKOBA KUWASHA MOTO JIJINI ...
      • TFDA YAENDESHA KAMPENI YA UTUMIAJI WA VYAKULA VILI...
      • Wakazi wa eneo la hifadhi ya Ngorongoro wapokea ch...
      • AZANIA BANK YACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI SHULE Y...
      • United States 2015 Diversity Visa Program Now Open
      • OPERESHENI KIMBUNGA AWAMU YA PILI YASHIKA KASI KAT...
      • mdau mugassa mwenda ahojiwa na BBC kwa kufurahishw...
      • Airtel yawanoa maafisa waTRA jinsi ya kulipia ada ...
      • NAIBU WAZIRI FEDHA AKAGUA UJENZI WA BARABARA VISIW...
      • 2013 Young Achievers Awards Nomination Open!
      • No title
      • IN LOVING MEMORY of DORA HOSEA TALAWA 1ST ANNIVESSARY
      • ngoma azipendazo ankal
      • TAARIFA YA MSIBA WA MAMA ROSE HEINRICH SANGIWA MATAJI
      • FRANSIC MIYEYUSHO AMTWANGA SADIK MOMBA KWA POINTI
      • Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Wafanyakazi...
      • Mahojiano ya JK na radio ya umoja wa mataifa, New ...
      • J&M Virgo washusha mali mpya
      • Daktari wa Rais Kikwete kupima afya na kuwapa lese...
      • MWENGE WA UHURU WATUA MAKETE
      • Swali la kizushi: Je ni mkono upi unaofaa kuvalia ...
      • No title
      • No title
      • introducing Mchaga na pesa by KiwaStrond ft. Banx
      • bwawa la maini oye! Suarez arudi na kupiga bee kat...
      • HARAMBEE KUCHANGIA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KUS...
      • introducing 'Ni Noma' by Go Getta of the night cra...
      • MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ...
      • Ubalozi wetu zambia na wajisiriamali wa Tanzania w...
      • Grace aikaeli Mbowe na mumewe wafariki kwa ajali ...
      • Simba yaibanjua Ruvu JKT 2-0 leo neshno
      • KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMA...
      • ZUMBA KUKWE AMSHINDA HAMADUU MWALIMU KWA KO RAUNDI...
      • TANZIA: Msiba wa Bi ROSE HENRISCH SANGIWA MATAJI
      • Sherehe za kufunga mafunzo katika kikosi cha 842 ...
      • Benki ya posta Tanzania tawi la Songea yaipiga jek...
      • GLOBAL LANGUAGE NETWORK (GLN) ILIYOFANYIKA WASHING...
      • TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO NI KWELI KWAMBA LIMEPOTE...
      • No title
      • Tanzanian Minister of Defence Meets Governor of So...
      • UPANUZI WA BARABARA YA BENDERA TATU HADI KAMATA KU...
      • MISS UTALII TANZANIA KUTANGAZA NYATI WA AJABU NA ...
      • Cheka unenepe
      • WAFANYAKAZI WA IDARA MBALI MBALI ZA SERIKALI WACHU...
      • Kiwanda cha kuzalisha malighafi za kutengeneza Gil...
      • MAMA SALMA KIKWETE APEWA URAIA WA HIARI WA JIMBO L...
      • MKUTANO WA SIKU TATU WA MAOFISA WA JUU WA JESHI LA...
      • NBC YATENGA SIKU MAALUMU KUWASHUKURU WATEJA WAO
      • Serikali yabariki tamasha la Utamaduni Handeni
      • Matukio zaidi ya Mhe. Rais Kikwete alipolihutubia ...
      • ngoma azipendazo ankal
      • chemsha bongo...
      • cassim mganga akitumbuiza kwenye tamasha la fiesta...
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile