Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Rais wa Bunge la Ulaya Bwana Alexandre Stutzman (kulia) na Bwana Marc Jutten (kushoto) Mshauri wa Sera za Nje wa Rais wa Bunge la Ulaya. Balozi Kamala amekutana na Bwana Stutzman leo Ofisini kwake Brussels kushauriana naye kuhusu masuala mbalimbali ya majukumu ya Bunge la Ulaya.
Wednesday, 18 September 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment