| Mwenyekiti wa Halmashauri ya Iringa na diwani wa kata ya Nzihi Bw Stivin Mhapa kushoto akimpongeza Bw Jackson Kiswaga kwa kujitolea kusaidia elimu shule aliyosoma ya Nyamihuu jimbo la Kalenga |
| Baadhi ya wahitimu wa darasa la saba katika mahafali ya 34 shule ya Msingi Nyamihuu wakisikiliza ahadi ya Bw Kiswaga ya kusomesha watoto watatu elimu ya sekondari |
0 comments:
Post a Comment