Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na Wazanzibari wanaoishi Tanga, katika ukumbi wa Tangamano jijini Tanga.
Baadhi ya Wazanzibari wanaoishi Tanga wakimsikiliza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad katika ukumbi wa Tangamano jijini Tanga, leo tarehe 27/09/2013. (picha na Salmin Said, OMKR)
0 comments:
Post a Comment