50 Bing Coupons

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Wednesday, 18 September 2013

Muonekano wa Busara Promotions: Mikakati na mipango ya Miaka 5 ijayo ya Sauti za Busara”

Posted on 01:36 by Unknown
Busara Promotions ni Taasisi inayoandaa tamasha la muziki la Sauti za Busara, ikishirikiana na bodi ya wadhamini, uongozi, wafanyakazi pamoja na wageni kutoka sekta ya sanaa na utamaduni Tanzania waliokutana mwishoni mwa wiki kupanga mikakati na mipango katika hoteli ya Bluebay Beach Resort iliyopo Kiwengwa, Zanzibar ili kupitia mafanikio ya muongozo uliopita na kupanga mikakati na shughuli ya miaka mitano ijayo.
 Imedhaminiwa na mfuko wa Kiholanzi Hivos, Bluebay Beach Resort Zanzibar na wawezeshaji kutoka PEN Kenya, timu nzima ya Busara Promotions ilijumuika pamoja ili kuweza  kupanga mwongozo mpya katika taasisi, ambayo imejenga ubora na nguvu katika kutangaza utamaduni na muziki wa Afrika Mashariki na kati, kitaifa na kimataifa kwa miaka kumi iliyopita.
 Ingawa Taasisi inajulikana kwa uandaaji wa tamasha la muziki ambalo hufanyika moja kwa mwaka lijulikanalo kwa jina la Sauti za Busara (Sounds of Wisdom), Busara Promotions pia huhusika  nyuma ya pazia katika sekta ya muziki, kujenga thamani ya muziki duniani kote na kanda zote kwa ujumla, kujenga ujuzi na kuwapatia nafasi wasanii na wanamuziki, wataalam wa muziki,kuimarisha miundombinu na kujenga mitandao ya kikanda na kitaifa.
 Mipango ya miaka mitano ijayo ni kujenga mafanikio ya awali ya Busara Promotions pamoja na kutambulisha mawazo mapya na miradi ikiwa ni pamoja na kuongeza shoo zaidi za utamaduni kwa Taasisi kwa mwaka mzima.
 Busara Promotions inatarajia kuwa hai katika mashirikiano na wasanii na wataalam wa muziki na kazi, mafunzo na nafasi katika mitandao pamoja na kuimalisha muonekano wa muziki wa Kiafrika na maelezo katika mitandao.
 Busara Promotions inapenda kutangaza kuwa wakati wa majadiliano, Bodi ya wadhamini imechagua wanachama wapya watatu kujiunga na bodi ya wadhanimi ambao ni: Ally Saleh, Mzanzibari ni mwaandishi wa habari anaejulikana, aliwahi kufanya kazi na Busara Promotions wakati wa Kongamano la Viongozi wa Utamaduni na ukuaji wa uchumi Zanzibar mwaka 2011 Novemba. Aliongoza majadiliano hayo kwa wadau wa biashara, utalii na wadau wengine wanaohusika katika taasisi za utamaduni katika kuleta faida kwa wazawa.
 Julia Bishop, ni mshauri mtaalam na mkurugenzi mwanzilishi wa Chama cha Wawekezeji sekta ya Utalii Zanzibar (ZATI), kuleta kwake utaalam wake katika utalii na biashara katika bodi ya wadhamini Busara Promotions. Verena Knippel amesaidia baadhi ya watanzania katika ratiba ya TV na filamu. Amewahi kuishi na kufanya kazi Zanzibar kwa muda wa miaka mingi baada ya hapo alihamia Dar es Salaam na kujiunga na DFID kama mtaalam wa kusaidia bajeti. Wanachama hawa watatu wa bodi ya wadhamini watasaidia kuiongoza Busara Promotions na kutimiza malengo ya miaka ijayo, kwa kuchangia ujuzi wao mbali mbali na uzoefu wao katika timu.
 Kwa wakati huo huo, Bodi ya wadhamini wawili ambao ni waanzilishi, Hilda Kiel na Emerson Skeens, wamejiuzulu katika nafasi zao kama bodi ya wadhamini na kuwa wanachama washauri wa Busara. Mwenyekiti wa Bodi, Simai Mohammed Said, aliwashukuru kwa huduma zao za miaka mingi katika taasisi na kuwapongeza kwa kuendelea kushiriki kuwa washauri.
 Busara Promotions inaandaa toleo la 11 la tamasha la muziki la Sauti za Busara, litakalo fanyika kuanzia tarehe 13 mpaka16 February 2014, Mji Mkongwe, Zanzibar. Tamasha litashirikisha majina bora ya wasanii wa muziki wa Kiafrika.
 Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mkurugenzi mtendaji wa Busara Promotions, Rebecca Corey, kupitia barua pepe ifuatayo: rebecca@busara.or.tz.
 Shukrani za dhati kwa Bluebay Beach Resort, Zanzibar na wadhamini wetu wa  Sauti za Busara 2014: Royal Norwegian Embassy, Hivos, Goethe Institute, Memories of Zanzibar, Azam Marine, Ultimate Security, Zanzibar Unique Ltd., SMOLE II na wahisani wetu wote

Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • tamasha la 32 la sanaa la bagamoyo lawasha moto, Mhe Makala asema utamaduni ni ajira kwa vijana
    NAIBU Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Mhe. Amos Makala amesema Sanaa na Utamaduni nchini itaendelea kuenziwa ili kuwaleta a...
  • wadau farida na paul wameremeta
     Wakila pozi baada ya kumeremeta katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam kabla ya kwenda kwenye mnuso wao wa nguvu katika hote...
  • WAZIRI DK. NCHIMBI AMTEMBELEA PADRI ALIYEMWAGIWA TINDIKALI HOSPITALI YA MUHIMBILI LEO
    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akisalimiana na Padri Joseph Monesmo Magamba wa Kanisa la Romani Katoliki Pa...
  • Naibu Spika aongoza Mkutano wa ACP nchini Ubelgiji
    Mhe.Job Ndugai,Mbunge wa Kongwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania akiongoza Mkutano wa Kamati ya Mazingira na Jamii cha Umoja wa Mabunge y...
  • barabara ya Mtoni-mbagala ilivyo
  • Sherehe za kufunga mafunzo katika kikosi cha 842 Kj Mlale Jkt, Songea
      Mkuu wa wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Mhe Senyi Ngaga kushoto akiangalia shehena ya mahindi ya chakula katika kikosi cha 842 Kj mlale Jkt...
  • BACK TO THE SUA SEASON 2 EPISODE 2, KIJENGE, ARUSHA
    YECHU! YECHU! YECHU! HII HAILIPIWI HATA KUMI ARIFU  YAANI KIINGILIO NDO KITU HAMNAGA Pale Pale fasi ya K-JUU mwisho wa daladala mkabala na k...
  • Mkongo wa Taifa wa mawasiliano wakubalika zaidi kimataifa
    Mhandisi wa kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Keneth Makayanga (kushoto) akiwa pamoja na Mkuu wa Idara ya Mauzo, Bw. Kisamba Tambw...
  • KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMANI TANZANIA
     Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akishiriki kuwasha mshumaa kama tendo la kuiangaza nchi ya Tanzania.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape ...
  • JK ALIPOKUTANA NA WADAU WASHINGTON DC
    Rais wa Tanzania Dr.Jakaya Kikwete alipokutana na mpiganaji SundayShomari wa VOA siku ya Jumatano kwenye ofisi za ubalozi washington Dc. Rai...

Blog Archive

  • ▼  2013 (500)
    • ►  October (22)
    • ▼  September (478)
      • HIKI HAPA KILIO CHA WANAFUNZI WA UDAKTARI BUGANDO...
      • No title
      • BREKING NYUUZZZZZZ: SERIKALI YA MAREKANI YAFUNGA S...
      • No title
      • NATURAL PRODUCTS FOR your skin
      • SIKU YA UTALII DUNIANI YENYE KAULI MBIU UTALII NA ...
      • President Kikwete sends Congratulatory Message to ...
      • WAKAZI WA KIKUYU KUSINI WAANDAMANA KUPINGA BOMOABO...
      • ngoma azipendazo ankal
      • wadau farida na paul wameremeta
      • ACCT members attend Master Builders South Africa C...
      • magari yanauzwa
      • Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali Bw L...
      • Spika Makinda apongeza Mabunge ya Afrika kwa kuong...
      • KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN CASMIR MINJA AH...
      • dk shein aagana na balozi wa marekani aliyemaliza ...
      • KATIBU MKUU UTUMISHI, Bw. GEORGE YAMBESI AFUNGUA M...
      • Maalim Seif aifunga rasmi Ijtimai ya Kimataifa ili...
      • HOJA YA HAJA: TUIENZI AMANI YETU KWA GHARAMA YOYOT...
      • MWIGULU NCHEMBA KUNDURUMA NDANI YA LONDON UINGEREZA
      • mwenge wa uhuru watua jijini mbeya
      • MBUNGE WA VITI MAALUMU TABORA,MH MUNDE TAMBWE ADHA...
      • JK arejea nyumbani kutoka Canada na Marekani
      • JK alipohudhuria Mkutano wa Kukabiliana na Ujangil...
      • Globu ya Jamii yakuletea Exclusive Intavyuuu na Re...
      • KANYABOYA LINGINE LAIBUKA DAR,WADAU KAENI CHONJO
      • WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU AIPONGEZA VODA...
      • TIMU YA WIZARA YA AFYA YATINGA ROBO FAINALI - SHIMIWI
      • SAGCOT CEO meets with the US journalists
      • Redd’s Miss Tanzania 2013/14 atembelea TBL leo
      • KONGAMANO LA WAZEE WASTAAFU LAFANYIKA ZANZIBAR
      • ufunguzi Mkutano wa Chama cha Kimataifa cha Taasis...
      • AJALI ZAPUNGUA MKOANI IRINGA
      • MWAKALEBELA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 13 M...
      • MAALIM SEIF AWATAKA WAISLAM NCHINI KUUNGA NA KUSHI...
      • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA AMIRI J...
      • Japanese Grant for the Food Security Project for U...
      • ACCT members attending Master Builders South Afric...
      • Awamu ya pili ya chakula cha hisani cha Taasisi ya...
      • MHE. MWIGULU NCHEMBA AWAKUNA WENGI DMV.
      • MWENGE WAZINDUA UJENZI WA OFISI YA KATA TANDALA WI...
      • WAZIRI CHIKAWE ATEMBELEA GEREZA KUU LA ISANGA,MKOA...
      • MKUTANO WA CCM CHWAKA UNGUJA
      • TAARIFA YA MSIBA
      • SingTel Group and Samsung partner to enhance mobil...
      • TIC yawahakikishia wawekezaji ushirikiano zaidi
      • DIAMOND ALIVYOWAKUNA MASHABIKI WAKE NDANI YA GOLD ...
      • KAPOTIVE STAR SINGER-S BUKOBA KUWASHA MOTO JIJINI ...
      • TFDA YAENDESHA KAMPENI YA UTUMIAJI WA VYAKULA VILI...
      • Wakazi wa eneo la hifadhi ya Ngorongoro wapokea ch...
      • AZANIA BANK YACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI SHULE Y...
      • United States 2015 Diversity Visa Program Now Open
      • OPERESHENI KIMBUNGA AWAMU YA PILI YASHIKA KASI KAT...
      • mdau mugassa mwenda ahojiwa na BBC kwa kufurahishw...
      • Airtel yawanoa maafisa waTRA jinsi ya kulipia ada ...
      • NAIBU WAZIRI FEDHA AKAGUA UJENZI WA BARABARA VISIW...
      • 2013 Young Achievers Awards Nomination Open!
      • No title
      • IN LOVING MEMORY of DORA HOSEA TALAWA 1ST ANNIVESSARY
      • ngoma azipendazo ankal
      • TAARIFA YA MSIBA WA MAMA ROSE HEINRICH SANGIWA MATAJI
      • FRANSIC MIYEYUSHO AMTWANGA SADIK MOMBA KWA POINTI
      • Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Wafanyakazi...
      • Mahojiano ya JK na radio ya umoja wa mataifa, New ...
      • J&M Virgo washusha mali mpya
      • Daktari wa Rais Kikwete kupima afya na kuwapa lese...
      • MWENGE WA UHURU WATUA MAKETE
      • Swali la kizushi: Je ni mkono upi unaofaa kuvalia ...
      • No title
      • No title
      • introducing Mchaga na pesa by KiwaStrond ft. Banx
      • bwawa la maini oye! Suarez arudi na kupiga bee kat...
      • HARAMBEE KUCHANGIA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KUS...
      • introducing 'Ni Noma' by Go Getta of the night cra...
      • MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ...
      • Ubalozi wetu zambia na wajisiriamali wa Tanzania w...
      • Grace aikaeli Mbowe na mumewe wafariki kwa ajali ...
      • Simba yaibanjua Ruvu JKT 2-0 leo neshno
      • KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMA...
      • ZUMBA KUKWE AMSHINDA HAMADUU MWALIMU KWA KO RAUNDI...
      • TANZIA: Msiba wa Bi ROSE HENRISCH SANGIWA MATAJI
      • Sherehe za kufunga mafunzo katika kikosi cha 842 ...
      • Benki ya posta Tanzania tawi la Songea yaipiga jek...
      • GLOBAL LANGUAGE NETWORK (GLN) ILIYOFANYIKA WASHING...
      • TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO NI KWELI KWAMBA LIMEPOTE...
      • No title
      • Tanzanian Minister of Defence Meets Governor of So...
      • UPANUZI WA BARABARA YA BENDERA TATU HADI KAMATA KU...
      • MISS UTALII TANZANIA KUTANGAZA NYATI WA AJABU NA ...
      • Cheka unenepe
      • WAFANYAKAZI WA IDARA MBALI MBALI ZA SERIKALI WACHU...
      • Kiwanda cha kuzalisha malighafi za kutengeneza Gil...
      • MAMA SALMA KIKWETE APEWA URAIA WA HIARI WA JIMBO L...
      • MKUTANO WA SIKU TATU WA MAOFISA WA JUU WA JESHI LA...
      • NBC YATENGA SIKU MAALUMU KUWASHUKURU WATEJA WAO
      • Serikali yabariki tamasha la Utamaduni Handeni
      • Matukio zaidi ya Mhe. Rais Kikwete alipolihutubia ...
      • ngoma azipendazo ankal
      • chemsha bongo...
      • cassim mganga akitumbuiza kwenye tamasha la fiesta...
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile