Wanalibeneke,Jeff Msangi (shoto) na Othman Michuzi (kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Sanaa na Utamaduni Bagamoyo,Michael Kadinde (alieketi) wakati Timu ya Michuzi TV ilipomtembelea ofisini kwake ili kufanya nae mahojiano juu ya Mwenendo mzima wa Tamasha la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo,ambalo kimuonekano linaonekana kupoteza mvuto.Je ni kweli Tamasha hilo limepoteza mvuto kulinganisha na miaka iliyopita??fatilia mahojiano hayo hapo chini ikiwa ni sehemu ya kwanza.
Saturday, 28 September 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment