Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Emmanuel Nchimbi aliyeketi katikati akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya Maendeleo ya Operesheni Kimbunga ili kuwabaini wahamiaji haramu inayoendelea hapa nchini, wa kwanza kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mbarak Abdulwakil na wa kwanza kutoka kulia ni Kaimu Kamishna wa Uraia na Passpoti Victoria Lembeli.
Tuesday, 24 September 2013
Waziri Nchimbi akutana na wanahabari leo kutoa taarifa ya Maendeleo ya Operesheni Kimbunga
Posted on 10:31 by Unknown
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment